Pakua sasa Bandarini SACCOS App  ufurahie huduma zetu kupitia simu yako ya kiganjani

MKUTANO WA WANACHAMA WA IDARA ZA HOSPITALI,ZIMAMOTO,RASILIMALI WATU,MANUNUZI NA BUSSINES SUPPORT

MKUTANO WA WANACHAMA WA IDARA ZA HOSPITALI,ZIMAMOTO,RASILIMALI WATU,MANUNUZI NA BUSSINES SUPPORT

tarehe 27/05/2023 umefanyika Mkutano wa wanachama wa idara za Zimamoto, Hospitali, Rasilimaliwatu, Manunuzi na Business Support uliofanyika katika ukumbi uliopo ghorofa ya 4 katika Jengo la One Stop Center ambapo wanachama walipata fursa ya kupata mrejesho kuhusu mwenendo wa chama chao pamoja na kuchagua wajumbe wawakilishi watakao wawakilisha katika Mkutano Mkuu wa Chama. Wajumbe wawakilishi wafuatao waliochaguliwa kuwakilisha wanachama wa idara ya Rasilimaliwatu;
1. Tatu M. Mandoa
2. Fredrick Temu
3. Zulfa I. Njalumbe
4. Angelina Swebe

Wajumbe wawakilishi wafuatao waliochaguliwa kuwakilisha wanachama wa idara ya Business Support;
1. Claudia A. Michese
2. Ally Makwita
3. Fatima A. Rajabu
4. Austin Muntali

Wajumbe wawakilishi wafuatao waliochaguliwa kuwakilisha wanachama wa idara ya Zimamoto;
1. Andrew A. Kahembe
2. Francis C. Kichonge

Wajumbe wawakilishi wafuatao waliochaguliwa kuwakilisha wanachama wa idara ya Hospitali;
1. Devotha I. Chuwa
2. Raymond Nyarufunjo

Na idara ya Manunuzi itawakilishwa na Mjumbe Said K. Ramadhani.

Post a Comment

Translate »