Pakua sasa Bandarini SACCOS App  ufurahie huduma zetu kupitia simu yako ya kiganjani

Weka Akiba Unufaike Ukiwa mwanachama wa Bandarini SACCOS utalazimika kuweka akiba mara kwa mara ili unufaike zaidi. 01 p h f Karibu Bandarini SACCOS Jiunge na Bandarini SACCOS ili uweze kunufaika na huduma zetu mbalimbali zenye ubora na masharti nafuu. 02 p u Jipatie mikopo ya riba nafuu Jiunge na Bandarini SACCOS unufaike na mikopo mbalimbali yenye riba nafuu. 03 t h

Jiunge Nasi

Jiunge na Bandarini SACCOS Limited ili uweze kunufaika na huduma mbalimbali ukiwa kama mwanachama hai. Kujiunga ni lazima uwe mfanyakazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

Wekeza & kopa

Ukiwa mwanachama wa Bandarini SACCOS Limited utaweza kununua hisa na kuwekeza hisa zako kwa muda utakao ridhia. Pia utaweza kukopa kulingana na aina ya mkopo utakaohitaji. Kuna aina kumi na tatu za mikopo zinatolewa na Bandarini SACCOS Limited.

Nufaika

Kupitia akiba na hisa za mwanachama pamoja na mikopo nafuu anayoweza kukopa, mwanachama ataweza kujikwamua kiuchumi na kijamii kwa kutatua tatizo la kukosa fedha kwa wakati.

x

Takwimu zetu

1677
Wanachama
19
Mikopo (Bilioni)

WASHIRIKA WETU

Furahia Huduma
na Bidhaa zetu pendwa

Hizi ni baadhi ya Huduma na bidhaa zinazotolewa na Bandarini SACCOS Limited.

AMANA.

MIKOPO

BIMA

AKIBA

HISA

“Wanachama wetu tunawahakikishia chama kinachozingatia tija, matokeo, ubora, viwango na uendelevu katika kuiendea ndoto yetu”

MTENDAJI MKUU
GODFREY V. RWEHUMBIZA

"Haya yote yamefanikiwa na kuendelea kufikiwa kutokana na uongozi wenu imara kwa kushirikiana na Menejimenti ya chama kuimarisha utawala bora na kuwekeza nguvu na rasilimali katika mifumo na kuongeza uwajibikaji na uwazi baina yetu"

MWENYEKITI WA BODI
Bw. Ernest E. Nyambo

HABARI MBALIMBALI

Mawasiliano

Wasiliana Nasi!

Wasiliana na sisi kwa kuandika barua pepe yako hapo chini

    Translate »