Pakua sasa Bandarini SACCOS App  ufurahie huduma zetu kupitia simu yako ya kiganjani

BANDARINI SACCOS YATOA MSAADA SHULE YA MSINGI YA WATOTO WENYE ULEMAVU WAILES ILIYOPO TEMEKE

BANDARINI SACCOS YATOA MSAADA SHULE YA MSINGI YA WATOTO WENYE ULEMAVU WAILES ILIYOPO TEMEKE

Leo tarehe 24/10/2022 Bandarini SACCOS imetoa msaada wa vifaa saidizi vya kufundishia pamoja na vyakula katika Shule ya Msingi ya Watoto wenye ya Temeke Wailes, ikiwa ni katika Maadhimisho ya wiki ya Bandarini SACCOS ambapo Bandarini SACCOS hufanya matukio mbalimbali ya kujali jamii. Msaada huo ulipokelewa na Mkuu wa Shule hiyo Bw. Barakaeli Kanuya.

Post a Comment

Translate »